supper editing team


 

kila mtu ana ndoto ya kufanya kile anacho kitandani siku moja kije kuwa na manufaa sana kwake lakini hata kikundi cha watu yani Group lina ndoto zake na maono yake ya baadae je unaweza ukasema waandaaji wa movie huwa wana ushilikiano kiasi GANI mpaka kukamilisha project yenye kuingiza faida kubwa na istoshe kuelimisha jamii ?

Hii ni future ambayo ni ajabu lakini usishangae tunacho kiwaza sisi kama mnyilinga art group



MNYILINGA ART GROUP

Sisi ni kama hewa ambayo ina jazwa kila siku huku mungu ndiye chanzo cha yote uyaonayo kwetu lakini tunaamini kuna baadhi ya vitu vitakuja kuwa ni kama history kwetu bila nyie kujali na kuona tu mahali tutakapo kuwa wakati huo 

Lengo letu ni kufanya kitu cha kushangaza  ndani na nje ya mipaka ya nchi ya TANZANIA katika upande wa technologies je huamini ?  Tunatamani kufika mbali zaidi ya walioko mbali muda huu je wao watakuwa umbali GANI?    

Kama unapenda kile tunacho kifanya tumetapakaa kila kona ya mtandao unaweza kujiunga na group letu la facebook bonyeza jiunge chini



Bonyeza hyo button kuunganisha group FB

eliud novat
Facebook profile

     ELIUD NOVAT

Naitwa eliud novat ni CEO na mwanzilishi wa platform hii ya ENM team ya kimtandao ambayo kazi yake ni kukufahamisha na kufundisha mambo mengi ya technologies

BONYEZA PICHA YANGU KUNI FOLLOW FACEBOOK  

posted by mnyilinga team